Baadhi ya fursa......
Sehemu ya kwanza ya somo la leo kuhusu Maisha..
- Kununua Mashine za kukoroga zege na kukodisha.
- Kununua Mashine za kukata vyuma na kuzikodisha.
- Kutengeneza na kuuza tofali
- Ufundi, Website updating/Database: Katika Halmashauri, Manispaa, Mashule, Wizara, Wilaya na Makampuni mbalimbali.
- Kuanzisha kituo cha redio na televisheni
- Kufunga na kutengeneza vifaa mbalimbali vya electroniki na mawasiliano mfano; compyuta na vifaa vya compyuta na mawasiliano.
- Kuuza software; mfano Antivirus, Operating Systems, Pastel, Tally, Myob, n.k
- Kushona na kuuza nguo.
- Kufungua Duka la kuuza nguo mpya; suit, socks, batiki, nguo za asili, Mashuka, Mashati, Suruali,
- Ufugaji wa mifugo mbalimbali mfano Kondoo, Mbuzi, Ng’ombe, Kuku, Bata, na wengine.


0 Comments